iqna

IQNA

Ukarimu katika Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zimezindua kampeni ya ukarimu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani yenye lengo la kutoa msaada wa milo bilioni moja kwa wale wanaohitaji kote kote duniani.
Habari ID: 3476770    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/27